3,49 €
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
3,49 €
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
Als Download kaufen
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
Jetzt verschenken
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
  • Format: ePub

Usalama wa maisha ya binti wa kitanzania unakuwa rehani. Aliingia kwenye mgogoro mkubwa kisa kugoma kuwa mpenzi wa kijana wa kimarekani, sababu aliolewa na mwenye familia nyumbani kwake.
Mzozo ambao unazaa chuki kubwa, iliyotokana na wivu kisa alionekana na mwanaume mwingine. Kijana akafikia kumfanyia vurugu, asijue mtu huyo hakuwa wa kawaida bali ni Gadi.
Alipoachiliwa kwa rushwa, alijeruhiwa vibaya na gadi alichukuliwa akawekwa ndani. Ila akaja kuachiwa ilipobainika hujuma iliyofanyika, iliyoongozwa na mzazi wa kijana yule. Aliyeishia kuapa kumuua binti kulipia kisasi kuumizwa kijana
…mehr

  • Geräte: eReader
  • mit Kopierschutz
  • eBook Hilfe
  • Größe: 0.36MB
  • FamilySharing(5)
Produktbeschreibung
Usalama wa maisha ya binti wa kitanzania unakuwa rehani. Aliingia kwenye mgogoro mkubwa kisa kugoma kuwa mpenzi wa kijana wa kimarekani, sababu aliolewa na mwenye familia nyumbani kwake.

Mzozo ambao unazaa chuki kubwa, iliyotokana na wivu kisa alionekana na mwanaume mwingine. Kijana akafikia kumfanyia vurugu, asijue mtu huyo hakuwa wa kawaida bali ni Gadi.

Alipoachiliwa kwa rushwa, alijeruhiwa vibaya na gadi alichukuliwa akawekwa ndani. Ila akaja kuachiwa ilipobainika hujuma iliyofanyika, iliyoongozwa na mzazi wa kijana yule. Aliyeishia kuapa kumuua binti kulipia kisasi kuumizwa kijana wake.

Mwishowe linaagizwa genge la watu wenye silaha, wanaokuja kuingia kwenye treni ambayo binti. Inakuwa ni patashika nguo kuchanika, mapambano yanazuka huku chombo kikiwa njiani kwa kasi kubwa.


Dieser Download kann aus rechtlichen Gründen nur mit Rechnungsadresse in A, B, CY, CZ, D, DK, EW, E, FIN, F, GR, H, IRL, I, LT, L, LR, M, NL, PL, P, R, S, SLO, SK ausgeliefert werden.

Autorenporträt
Hassan Mambosasa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga nchini Tanzania, elimu yake ameipata kwenye shule mbalimbali za sekondari. Ikiwemo Jitegemee JKT, Wailes, Ubungo islamic, victory na kuja kuhitimu kidato cha sita kwenye shule ya sekondari Tambaza.

Elimu ya juu aliipata chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA), amesomea masuala ya TEHAMA akishughulika zaidi kwenye vifaa vya kompyuta.

Alianza uandishi mnamo mwaka 2006 hadi hii leo ameandika hadithi zaidi ya 40 katika mfumo wa vitabu vya mtandaoni.