3,49 €
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
3,49 €
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
Als Download kaufen
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
Jetzt verschenken
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
  • Format: ePub

Baada ya kufanya kazi za upelelezi wa muda mrefu, akihusika na mambo yanayohusiana ndani ya nchi ya Tanzania. Tatizo kubwa lilitokea, ni baada ya kufika taarifa ya usaliti wa jasusi mmoja wa EASA aliyetorokea jimbo la Juba kusini mwa Somalia.
Taarifa inasemekana alimjeruhi mwenzake vibaya, ambaye alitibiwa na kupona na alibaki nchini Kenya akiendelea na kazi zingine. Wakati huyo msaliti akiendelea kujichimbia nchini Somalia.
Inaandaliwa operesheni, aliyotakiwa mpelelezi mmojawapo atumwe kwenda huko. Huyo aihitajika kufika mjini Lamu aonane na jasusi aliyejeruhiwa, ambaye angekuja
…mehr

  • Geräte: eReader
  • mit Kopierschutz
  • eBook Hilfe
  • Größe: 0.39MB
  • FamilySharing(5)
Produktbeschreibung
Baada ya kufanya kazi za upelelezi wa muda mrefu, akihusika na mambo yanayohusiana ndani ya nchi ya Tanzania. Tatizo kubwa lilitokea, ni baada ya kufika taarifa ya usaliti wa jasusi mmoja wa EASA aliyetorokea jimbo la Juba kusini mwa Somalia.

Taarifa inasemekana alimjeruhi mwenzake vibaya, ambaye alitibiwa na kupona na alibaki nchini Kenya akiendelea na kazi zingine. Wakati huyo msaliti akiendelea kujichimbia nchini Somalia.

Inaandaliwa operesheni, aliyotakiwa mpelelezi mmojawapo atumwe kwenda huko. Huyo aihitajika kufika mjini Lamu aonane na jasusi aliyejeruhiwa, ambaye angekuja kumsafirisha kwa kutumia watu wake kwenda Juba. Huko wangekuja wapelelezi wengine ambao wangeigiza kama wanamgambo, hao wangemteka na kumfikisha kwenye kundi mojawapo la wanamgambo huko ndiyo angefanya kazi yake.

Shirika lilimteua Norbert Kaila kushikilia jukumu hilo, ambaye aliondoka nchini Tanzania kwa mujibu wa itifaki ilivyo. Ila mambo yanakuja kugeuka baada ya kufika nchini Somalia. Huko anatekwa kibaya zaidi wanaofanya kazi hiyo ni majambazi kamili wa kundi mojawapo, na si wale wenzake ambao walipangwa kufika huko.

Watekaji waliwahi mapema kabla ya majasusi wengine, walitimiza jukumu hilo, mwisho wake ikaja kuwa tatizo kubwa kwa EASA. Norbert Kaila aliwekwa nguvuni, inampasa kujiokoa na kuendelea na misheni yake.


Dieser Download kann aus rechtlichen Gründen nur mit Rechnungsadresse in A, B, CY, CZ, D, DK, EW, E, FIN, F, GR, H, IRL, I, LT, L, LR, M, NL, PL, P, R, S, SLO, SK ausgeliefert werden.

Autorenporträt
Hassan Mambosasa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga nchini Tanzania, elimu yake ameipata kwenye shule mbalimbali za sekondari. Ikiwemo Jitegemee JKT, Wailes, Ubungo islamic, victory na kuja kuhitimu kidato cha sita kwenye shule ya sekondari Tambaza.

Elimu ya juu aliipata chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA), amesomea masuala ya TEHAMA akishughulika zaidi kwenye vifaa vya kompyuta.

Alianza uandishi mnamo mwaka 2006 hadi hii leo ameandika hadithi zaidi ya 40 katika mfumo wa vitabu vya mtandaoni.