3,49 €
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
3,49 €
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
Als Download kaufen
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
Jetzt verschenken
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
  • Format: ePub

Maisha ya Eliza yanaingia mashakani, baada ya kuhisiwa ana mahusiano na bosi wake. Anasakwa kila kona na mzazi mwenza wa bosi, aliye na kawaida ya kumfanyia unyama kila mwanamke aliye karibu na mwanaume yule. Asijali kama waliachana na hatakiwi.
Woga wa kuhisi angeondolewa uhai, sambamba na hamu ya kutaka kupambania maisha yake. vinafikisha hofu yake kwenye ukomo, badala ya kuogopa inageuka kuwa ukatili. Aliyotakiwa kuwawinda inabadilika yeye ndiye anayewawinda, tena kimya bila sauti tena kwa kuvizia kama chatu. Mwishowe inageuka mshike damu inamwagwa bila huruma.
Norbert Kaila naye
…mehr

  • Geräte: eReader
  • mit Kopierschutz
  • eBook Hilfe
  • Größe: 0.32MB
  • FamilySharing(5)
Produktbeschreibung
Maisha ya Eliza yanaingia mashakani, baada ya kuhisiwa ana mahusiano na bosi wake. Anasakwa kila kona na mzazi mwenza wa bosi, aliye na kawaida ya kumfanyia unyama kila mwanamke aliye karibu na mwanaume yule. Asijali kama waliachana na hatakiwi.

Woga wa kuhisi angeondolewa uhai, sambamba na hamu ya kutaka kupambania maisha yake. vinafikisha hofu yake kwenye ukomo, badala ya kuogopa inageuka kuwa ukatili. Aliyotakiwa kuwawinda inabadilika yeye ndiye anayewawinda, tena kimya bila sauti tena kwa kuvizia kama chatu. Mwishowe inageuka mshike damu inamwagwa bila huruma.

Norbert Kaila naye aliyekuwa akifanya kazi kuchunguza uovu wa mzazi mwenza wa bosi wa Eliza. Alijikuta akipewa jukumu jingine, akitakiwa kuhakikisha binti anabaki salama. EASA walimhitaji kwa kuona upeo wake na ujasiri ule.

Ni UKOMO


Dieser Download kann aus rechtlichen Gründen nur mit Rechnungsadresse in A, B, CY, CZ, D, DK, EW, E, FIN, F, GR, H, IRL, I, LT, L, LR, M, NL, PL, P, R, S, SLO, SK ausgeliefert werden.

Autorenporträt
Hassan Mambosasa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga nchini Tanzania, elimu yake ameipata kwenye shule mbalimbali za sekondari. Ikiwemo Jitegemee JKT, Wailes, Ubungo islamic, victory na kuja kuhitimu kidato cha sita kwenye shule ya sekondari Tambaza.

Elimu ya juu aliipata chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA), amesomea masuala ya TEHAMA akishughulika zaidi kwenye vifaa vya kompyuta.

Alianza uandishi mnamo mwaka 2006 hadi hii leo ameandika hadithi zaidi ya 40 katika mfumo wa vitabu vya mtandaoni.