3,49 €
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
3,49 €
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
Als Download kaufen
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
Jetzt verschenken
3,49 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
  • Format: ePub

Kiburi si uungwana, bilionea maarufu sana aliona eneo ambalo alilitamani sana kulitumia. Akipanga kujenga uwanja kwa ajili ya timu anayoimiliki, kusudi iendane jina lake na makao yake yalipo.
Hapo ndiyo tamaa ilipomwingia kwa kuliona shamba kubwa, ambalo halikuendelezwa na kujengwa nyumba za kisasa, licha ya mji kutanuka. Kukabaki kuwa vilevile, katikati yake kukiwa na mti mkubwa sana.. eneo ambalo lilimfaa hasa kujengea uwanja wa kisasa wa timu, sababu lipo mahali pazuri.
Alijaribu njia ya kawaida ya kutaka auziwe, ila wamiliki waligoma na kumwambia halitakiwi kuuzwa. Ulikuwa urithi
…mehr

  • Geräte: eReader
  • mit Kopierschutz
  • eBook Hilfe
  • Größe: 0.42MB
  • FamilySharing(5)
Produktbeschreibung
Kiburi si uungwana, bilionea maarufu sana aliona eneo ambalo alilitamani sana kulitumia. Akipanga kujenga uwanja kwa ajili ya timu anayoimiliki, kusudi iendane jina lake na makao yake yalipo.

Hapo ndiyo tamaa ilipomwingia kwa kuliona shamba kubwa, ambalo halikuendelezwa na kujengwa nyumba za kisasa, licha ya mji kutanuka. Kukabaki kuwa vilevile, katikati yake kukiwa na mti mkubwa sana.. eneo ambalo lilimfaa hasa kujengea uwanja wa kisasa wa timu, sababu lipo mahali pazuri.

Alijaribu njia ya kawaida ya kutaka auziwe, ila wamiliki waligoma na kumwambia halitakiwi kuuzwa. Ulikuwa urithi toka enzi, ikitakiwa kubakishwa hivyo kwa vizazi hadi vizazi. Pia wakitakiwa kuumwagia mji mti mkubwa kila atakayesimamia.

Utamwambia nini mwenye mambo ya kisasa kuhusu mila? Ndiyo hapo bilionea akatafuta watu ambao waliamua kutumia mbinu chafu kulipata eneo hilo. Wakaishia kuukata mti ule na kujenga uwanja wa kisasa. Ila baadaye walikuja kujuta na kutamani muda urudi nyuma


Dieser Download kann aus rechtlichen Gründen nur mit Rechnungsadresse in A, B, CY, CZ, D, DK, EW, E, FIN, F, GR, H, IRL, I, LT, L, LR, M, NL, PL, P, R, S, SLO, SK ausgeliefert werden.

Autorenporträt
Hassan Mambosasa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga nchini Tanzania, elimu yake ameipata kwenye shule mbalimbali za sekondari. Ikiwemo Jitegemee JKT, Wailes, Ubungo islamic, victory na kuja kuhitimu kidato cha sita kwenye shule ya sekondari Tambaza.

Elimu ya juu aliipata chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA), amesomea masuala ya TEHAMA akishughulika zaidi kwenye vifaa vya kompyuta.

Alianza uandishi mnamo mwaka 2006 hadi hii leo ameandika hadithi zaidi ya 40 katika mfumo wa vitabu vya mtandaoni.