2,99 €
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
2,99 €
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
Als Download kaufen
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
Jetzt verschenken
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
  • Format: ePub

Miaka kama kumi kupita toka waziri wa ulinzi auawe, huku muuaji kutojulikana alipo. EASA bado iliendelea kumchunguza, licha ya vyombo vingine kuachana nalo kisa ushawishi wa familia marehemu waliyotaka kulipa kisasi wenyewe.
Alikuja kubainika yupo baada ya aliyemtuma hapo awali kujitokeza. Safari hiyo akitaka kumpa kazi nyingine ya kuua. Alipoishia kugoma na hapo akaanza kuwindwa yeye. Kwani aliyetuma alijua kulazimisha, hakujali hali yeyote ya mtu amri kwake ndiyo kila kitu.
Akaja kuingia maji marefu, EASA wakamjua ila hawana namna ya kumkamata kisa ushahidi. Huku aliyowaagiza nao wanamsaka walipoona ni muda mwafaka wa kulipiwa kisasi.
…mehr

  • Geräte: eReader
  • mit Kopierschutz
  • eBook Hilfe
  • Größe: 0.43MB
  • FamilySharing(5)
Produktbeschreibung
Miaka kama kumi kupita toka waziri wa ulinzi auawe, huku muuaji kutojulikana alipo. EASA bado iliendelea kumchunguza, licha ya vyombo vingine kuachana nalo kisa ushawishi wa familia marehemu waliyotaka kulipa kisasi wenyewe.

Alikuja kubainika yupo baada ya aliyemtuma hapo awali kujitokeza. Safari hiyo akitaka kumpa kazi nyingine ya kuua. Alipoishia kugoma na hapo akaanza kuwindwa yeye. Kwani aliyetuma alijua kulazimisha, hakujali hali yeyote ya mtu amri kwake ndiyo kila kitu.

Akaja kuingia maji marefu, EASA wakamjua ila hawana namna ya kumkamata kisa ushahidi. Huku aliyowaagiza nao wanamsaka walipoona ni muda mwafaka wa kulipiwa kisasi.


Dieser Download kann aus rechtlichen Gründen nur mit Rechnungsadresse in A, B, CY, CZ, D, DK, EW, E, FIN, F, GR, H, IRL, I, LT, L, LR, M, NL, PL, P, R, S, SLO, SK ausgeliefert werden.

Autorenporträt
Hassan Mambosasa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga nchini Tanzania, elimu yake ameipata kwenye shule mbalimbali za sekondari. Ikiwemo Jitegemee JKT, Wailes, Ubungo islamic, victory na kuja kuhitimu kidato cha sita kwenye shule ya sekondari Tambaza.

Elimu ya juu aliipata chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA), amesomea masuala ya TEHAMA akishughulika zaidi kwenye vifaa vya kompyuta.

Alianza uandishi mnamo mwaka 2006 hadi hii leo ameandika hadithi zaidi ya 40 katika mfumo wa vitabu vya mtandaoni.