2,99 €
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
2,99 €
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
Als Download kaufen
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
Jetzt verschenken
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
  • Format: ePub

Yuleyule wasiyempenda amerejea, akija na nguvu na tumaini jipya. Lengo ni kufanikisha kusimamisha utawala wake. Aone dunia ikiwa chini yake, wanadamu wote na viumbe wengine wakimtumikia. Huku Nsungi akiwa malkia wake, aishi na kufanya yale ayatakayo.
Mpango wake unaletwa na tumaini jipya, la uwepo wa nguvu ya ajabu sana. inayoweza kuhatarisha usalama wa dunia ikiwa itakuja kuangukia mikono mibaya. Hiyo ndiyo pekee anayoiota kuipata, toka kwa mtu ambaye aliishikilia. Akiamini wazi ni tumaini lililobaki la kufanikisha lengo lake.
Wapinzani wake na wanaotaka kuona dunia ikiwa sehemu
…mehr

  • Geräte: eReader
  • mit Kopierschutz
  • eBook Hilfe
  • Größe: 0.25MB
  • FamilySharing(5)
Produktbeschreibung
Yuleyule wasiyempenda amerejea, akija na nguvu na tumaini jipya. Lengo ni kufanikisha kusimamisha utawala wake. Aone dunia ikiwa chini yake, wanadamu wote na viumbe wengine wakimtumikia. Huku Nsungi akiwa malkia wake, aishi na kufanya yale ayatakayo.

Mpango wake unaletwa na tumaini jipya, la uwepo wa nguvu ya ajabu sana. inayoweza kuhatarisha usalama wa dunia ikiwa itakuja kuangukia mikono mibaya. Hiyo ndiyo pekee anayoiota kuipata, toka kwa mtu ambaye aliishikilia. Akiamini wazi ni tumaini lililobaki la kufanikisha lengo lake.

Wapinzani wake na wanaotaka kuona dunia ikiwa sehemu salama. Asiyetakiwa kutawala asiweze kushika uongozi wake. Nao wanashtuka hila zake mpya, wanaamua kupambana naye. wakiazimia kufanikisha mpango wao. Ulimwengu mzima ubaki salama. Kila kiumbe abaki utawala unaomhusu, na asihatarishe maisha ya wengine.

Lifa huyo asiyejua kama kuna msamiati kushindwa, wala kutokuwa na tumaini. Kiumbe wa kijini aliyeishi miaka mingi duniani, aliyekuwa na ndoto isiyofanikiwa kila uchwao.


Dieser Download kann aus rechtlichen Gründen nur mit Rechnungsadresse in A, B, CY, CZ, D, DK, EW, E, FIN, F, GR, H, IRL, I, LT, L, LR, M, NL, PL, P, R, S, SLO, SK ausgeliefert werden.

Autorenporträt
Hassan Mambosasa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga nchini Tanzania, elimu yake ameipata kwenye shule mbalimbali za sekondari. Ikiwemo Jitegemee JKT, Wailes, Ubungo islamic, victory na kuja kuhitimu kidato cha sita kwenye shule ya sekondari Tambaza.

Elimu ya juu aliipata chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA), amesomea masuala ya TEHAMA akishughulika zaidi kwenye vifaa vya kompyuta.

Alianza uandishi mnamo mwaka 2006 hadi hii leo ameandika hadithi zaidi ya 40 katika mfumo wa vitabu vya mtandaoni.