2,99 €
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
2,99 €
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
Als Download kaufen
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
Jetzt verschenken
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
  • Format: ePub

Wanafunzi wa chuo wakiwa ndani ya mbuga ya wanyama ya Mkomazi, iliyochukua eneo la mkoa wa Tanga na Kilimanjaro nchini Tanzania. Walitega kamera zao kwa dhumuni la kunasa matukio ya maisha ya wanyama, ikiwa ni kazi waliyoifanya kwa ushirikiano mkubwa.
Matokeo ni kamera zile hazikunasa matukio ya wanyama, bali ni jambo ambalo halikutakiwa kuonekana na yeyote. Si kudhihirika tu, bali hata kusikiwa tu na ambaye hahusiki nalo haikufaa. Wenyewe hawakujua hilo hadi mambo yalipoanza kwenda mrama. Wanafunzi wale waliuawa na alibaki mmoja tu.
Huyo aliponea kwenye tundu la sindano asije
…mehr

  • Geräte: eReader
  • mit Kopierschutz
  • eBook Hilfe
  • Größe: 0.29MB
  • FamilySharing(5)
Produktbeschreibung
Wanafunzi wa chuo wakiwa ndani ya mbuga ya wanyama ya Mkomazi, iliyochukua eneo la mkoa wa Tanga na Kilimanjaro nchini Tanzania. Walitega kamera zao kwa dhumuni la kunasa matukio ya maisha ya wanyama, ikiwa ni kazi waliyoifanya kwa ushirikiano mkubwa.

Matokeo ni kamera zile hazikunasa matukio ya wanyama, bali ni jambo ambalo halikutakiwa kuonekana na yeyote. Si kudhihirika tu, bali hata kusikiwa tu na ambaye hahusiki nalo haikufaa. Wenyewe hawakujua hilo hadi mambo yalipoanza kwenda mrama. Wanafunzi wale waliuawa na alibaki mmoja tu.

Huyo aliponea kwenye tundu la sindano asije kumalizwa, baada ya kuokolewa na mtu ambaye baadaye alikuja kufahamu alihitaji sana. mwishowe ndiyo ikaja kubainika alibeba ushahidi wa tukio la mauaji ya mtu muhimu sana kwenye serikali lililonaswa na kamera zile.


Dieser Download kann aus rechtlichen Gründen nur mit Rechnungsadresse in A, B, CY, CZ, D, DK, EW, E, FIN, F, GR, H, IRL, I, LT, L, LR, M, NL, PL, P, R, S, SLO, SK ausgeliefert werden.

Autorenporträt
Hassan Mambosasa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga nchini Tanzania, elimu yake ameipata kwenye shule mbalimbali za sekondari. Ikiwemo Jitegemee JKT, Wailes, Ubungo islamic, victory na kuja kuhitimu kidato cha sita kwenye shule ya sekondari Tambaza.

Elimu ya juu aliipata chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA), amesomea masuala ya TEHAMA akishughulika zaidi kwenye vifaa vya kompyuta.

Alianza uandishi mnamo mwaka 2006 hadi hii leo ameandika hadithi zaidi ya 40 katika mfumo wa vitabu vya mtandaoni.