Matokeo ni kamera zile hazikunasa matukio ya wanyama, bali ni jambo ambalo halikutakiwa kuonekana na yeyote. Si kudhihirika tu, bali hata kusikiwa tu na ambaye hahusiki nalo haikufaa. Wenyewe hawakujua hilo hadi mambo yalipoanza kwenda mrama. Wanafunzi wale waliuawa na alibaki mmoja tu.
Huyo aliponea kwenye tundu la sindano asije kumalizwa, baada ya kuokolewa na mtu ambaye baadaye alikuja kufahamu alihitaji sana. mwishowe ndiyo ikaja kubainika alibeba ushahidi wa tukio la mauaji ya mtu muhimu sana kwenye serikali lililonaswa na kamera zile.
Dieser Download kann aus rechtlichen Gründen nur mit Rechnungsadresse in A, B, CY, CZ, D, DK, EW, E, FIN, F, GR, H, IRL, I, LT, L, LR, M, NL, PL, P, R, S, SLO, SK ausgeliefert werden.