2,99 €
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
2,99 €
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
Als Download kaufen
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar
payback
0 °P sammeln
Jetzt verschenken
2,99 €
inkl. MwSt.
Sofort per Download lieferbar

Alle Infos zum eBook verschenken
payback
0 °P sammeln
  • Format: ePub

Balaa juu ya balaa mwishowe likazuia kizaazaa. Yote hayo yameanza baada ya kutokea ajali ya ndege ya ajabu. Zilitokana na kugongana baada ya moja kutumia njia ya kuruka ya ndege nyingine kutua. mwishowe ni ajali mbaya ilipelekea kutokee mlipuko. Hadi watu wakahisi ni mambo ya mabomu yamerudi Dar es salaam.
Kumbe kulitokea usaliti mkubwa, uliyofanyika ndani ya EASA. Kwani ndege mojawapo ilibeba mhalifu mkubwa. Aliyetakiwa kufikishwa makao yao, ila mambo yalikuja kubadilika baada ya tukio hilo. Inambidi CE kumpa kazi N001 kwa siri, achunguze
Mkuu wa EASA tawi la Dar es salaam (CE)
…mehr

  • Geräte: eReader
  • mit Kopierschutz
  • eBook Hilfe
  • Größe: 0.39MB
  • FamilySharing(5)
Produktbeschreibung
Balaa juu ya balaa mwishowe likazuia kizaazaa. Yote hayo yameanza baada ya kutokea ajali ya ndege ya ajabu. Zilitokana na kugongana baada ya moja kutumia njia ya kuruka ya ndege nyingine kutua. mwishowe ni ajali mbaya ilipelekea kutokee mlipuko. Hadi watu wakahisi ni mambo ya mabomu yamerudi Dar es salaam.

Kumbe kulitokea usaliti mkubwa, uliyofanyika ndani ya EASA. Kwani ndege mojawapo ilibeba mhalifu mkubwa. Aliyetakiwa kufikishwa makao yao, ila mambo yalikuja kubadilika baada ya tukio hilo. Inambidi CE kumpa kazi N001 kwa siri, achunguze

Mkuu wa EASA tawi la Dar es salaam (CE) anasimamishwa kazi kiajabu, Norene ambaye ni sekretari wake yanamkuta. EASA imevamiwa!

Ni SIKU YA HARUSI, iliyobeba hatima na ushindi wa wazalendo.


Dieser Download kann aus rechtlichen Gründen nur mit Rechnungsadresse in A, B, CY, CZ, D, DK, EW, E, FIN, F, GR, H, IRL, I, LT, L, LR, M, NL, PL, P, R, S, SLO, SK ausgeliefert werden.

Autorenporträt
Hassan Mambosasa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga nchini Tanzania, elimu yake ameipata kwenye shule mbalimbali za sekondari. Ikiwemo Jitegemee JKT, Wailes, Ubungo islamic, victory na kuja kuhitimu kidato cha sita kwenye shule ya sekondari Tambaza.

Elimu ya juu aliipata chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA), amesomea masuala ya TEHAMA akishughulika zaidi kwenye vifaa vya kompyuta.

Alianza uandishi mnamo mwaka 2006 hadi hii leo ameandika hadithi zaidi ya 40 katika mfumo wa vitabu vya mtandaoni.